Quantcast
Channel: KALULUNGA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2768

MAANDALIZI YA TANZANIA DAY 2017 DALLAS TEXAS

$
0
0

Aprili 29, 2016, Mstahiki Meya wa jiji la Dallas, jimbo la Texas aliitangaza rasmi siku hiyo kuwa SIKU YA TANZANIA.

Na mwaka huu, Jumuiya ya waTanzania waishio jimboni humo kwa kushirikiana na Baraza la waTanzania waishio nchini Marekani (Diaspora Council of Tanzanians in America) wanaandaa maadhimisho makubwa ya siku hiyo yatakayofanyika katika jiji la Dallas.

Viongozi Ben Kazora wa Jumuiya ya Dallas na Charles Bishota wa DICOTA wamezungumza na Mubelwa Bandio kuhusu maandalizi ya siku hiyo.

KARIBU USIKILIZE

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2768

Trending Articles